
BaMidbar / Hesabu 13:1-15:41 Yehoshua / Yoshua 2:1-24 Ivrim / WaEbrania 3:7:4-11 Bamidbar {15:13} Wote walio wazaliwa wa nchini watafanya kulingana na namna hii,katika kutoa sadaka zao za korban (kusongeza) kwa njia ya moto ya harufu nzuri kwa HaShem.{15:14} Kama ger (mgeni) ataenenda nanyi au yeyote akayeishi kati yenu katika vizazi vyenu vyote,na kufanya korban [...]
Read full post » 
BaMidbar / Hesabu 13:1-15:41 Yehoshua / Yoshua 2:1-24 Ivrim / WaEbrania 3:7:4-11 Bamidbar {13:17} Moshe akawapeleka ili waipeleleze nchi ya Kanaani, akawaambia, Pandeni sasa katika Negev mkapande milimani, {13:18} mkaitazame nchi ni ya namna gani na watu wanaokaa ndani yake, kwamba ni hodari au dhaifu, kwamba ni wachache au wengi; {13:19} na nchi wanayoikaa kwamba [...]
Read full post » 
Bamidbar / Hesabu 13:1-15:41 Yehoshua / Yoshua 2:1-24 Ivrim / Waebrania 3:7-19 Bamidbar {14:11} HaShem alimwambia Moshe, Kwa kitambo gani hawa watu watanidharau Mimi? Na kwa kitambo gani hawatanisadiki Mimi, pamoja na ishara zote nilizozitenda kati yao? {14:12} Nitawapiga na tauni, nakuuondoa urithi wao, na nitakufanya wewe kuwa taifa kuu na lenye uweza kuliko wao. [...]
Read full post » 
Bamidbar / Hesabu 13:1-15:41 Yehoshua / Yoshua 2:1-24 Ivrim / Waibrania 3:7-19 Je, kuna nafasi ngapi umeziachia zikuponyoke katika maisha yako? Je, ni mara ngapi hukujishurutisha wewe mwenyewe au ulijiondoa usifanye kitu fulani kwa sababu ulifikiria hukuhitimu au kwamba hukuwa na kiwango kinachotakikana? Je, ni mara ngapi ulidhani kwamba kazi iliyopo ni kubwa sana kwa [...]
Read full post » 
Bamidbar / Hesabu 13:1-15:41 Yehoshua / Yoshua 2:1-24 Ivrim / Waibrania 3:7-19 Bamidbar {14:1} Kahilah (Jumuiya) yote ya bnei Yisraeli ikaangua kilio kikubwa, watu wwakalia usiku ule, {14:2} Walimlalamikia Moshe na Aharoni: na kahila yote wakisema, “Afadhali tungefia Mitzrayim (Misri)! Afadhali tungefia papahapa jangwani! {14:3}Kwa nini HaShem anatupeleka katika nchi kama hiyo? Tutauawa na upanga, [...]
Read full post » 
Bamidbar / Hesabu 13:1-15:41 Yehoshua / Yoshua 2:1-24 Ivrim / Waibrania 3:7-4:11 Bamidbar {13:1} HaShem akamwambia Moshe, {13:2} Tuma watu waende wakaipeleleze nchi ya Kanani ambayo ninawapa bnei Yisraeli (wana wa Israeli): Utamtuma mtu mmoja kutoka katika kila kabila la avoti (mababa) wao, na mtu huyo lazima awe kiongozi katika kabila lake. {13:3} Basi, kwa [...]
Read full post » 
Bamidbar / Hesabu 13:1-15:41 Yehoshua / Yoshua 2:1-24 Ivrim / Waibrania 3:7-19 Bamidbar {13:22} Wakapanda kupitia Negebu hadi wakafika Hebroni, mahali ambapo Ahimani, Sheshai na Talmai, bnei (wana wa) Anaki walipoishi. (Hebroni ulikuwa umejengwa miaka saba kabla ya mji wa Soani ulioko Mitsirayim [Misri].) {13:23} Walipofika katika bonde la Eshkoli, walivunja tawi lililokuwa na kishada [...]
Read full post »