Bereshit / Mwanzo 47:28-50:26 Melachim Aleph / 1 Wafalme 2:1-12 Mattityahu / Matthayo 27:57-61 Bereshit {18: 13} HaShem akamwambia Avraham,”Kwa nini Sarah amecheka,akisema,’Nitampakata mtoto kweli katika uzee wangu?” {18:14} Je,kuna lililo gumu la kumshinda HaShem? Katika muda uliokusudiwa nitarudi kwako,wakati kama huu mwakani,naye Sarah atapata motto”. {18:15} Ndipo Sarah alipokana nakusema”Sikucheka,” Naye akamwambia,hapana,umecheka” Kwa nini [...]









