Shemot / Kutoka 35:1-40:38 Melachim Alef/1 Wafalme 7:51-8:21 Ivrim/WaEbrania 9:1-11 Korintim Bet/2 Wakorintho 3:7-18 Shemot {39:2} Alifanya efodi ya dhahabu,samawati,zambarau,nyekundu,na kitani safi iliyo unganishwa.{39:3} Waliiponda dhahabu katika vijisahani vyembamba,na kuikata kata kuwa waya.ili kuifanyia kazi kwa samawati,nazambarau,na nyekundu,na katika kitani safi,kazi ya mtenda kazi stadi. {39:4} Wakafanya vipande vya bega lake na kuviunganisha pamoja.Katika miisho [...]









