Tag Archive | "kuwa"

Yerusalem Mpya Na Milango Kumi Na Mbili

Yerusalem Mpya Na Milango Kumi Na Mbili

Shemot / Kutoka 35:1-40:38 Melachim Alef/1 Wafalme 7:51-8:21 Ivrim/WaEbrania 9:1-11 Korintim Bet/2 Wakorintho 3:7-18 Shemot {39:2} Alifanya efodi ya dhahabu,samawati,zambarau,nyekundu,na kitani safi iliyo unganishwa.{39:3} Waliiponda dhahabu katika vijisahani vyembamba,na kuikata kata kuwa waya.ili kuifanyia kazi kwa samawati,nazambarau,na nyekundu,na katika kitani safi,kazi ya mtenda kazi stadi. {39:4} Wakafanya vipande vya bega lake na kuviunganisha pamoja.Katika miisho [...]

Posted in 5773, Kiswahili, Pekudei, Pekudei-ks, Sefer Shemot (Exodus), Torah Portion, Vayakhel, Vayakhel-ksComments (0)

Nous avons tous des ennemis

Nous avons tous des ennemis

Shemot / Kutoka 21:1-24:18 Yermyahu/Yeremia 34:8-22;33:25-26 Mattityahu/Mathayo 5:38-42 Shemot {23:20}”Tazama,namtuma malaika mbele yako,kukulinda wewe njiani,na kukuleta hadi mahali ambapo nimekuandalia.{23:21} Msikize sana huyo,na uitii sauti yake.Usimuudhi,kwa kuwa hata samehe kutotii kwako,kwa kuwa Jina langu li ndani yake.{23:22} Lakini kama utaitii sauti yake na kuyafanya yote ninenayo,basi,nitakuwa adui wa maadui wako,na mtesi wa watesi wako.{23:23} Kwa [...]

Posted in 5773, Francais - Français, Mishpatim, Mishpatim-fr, Sefer Shemot (Exodus), Torah PortionComments (0)

Sisi Sote Tuna Maadui

Sisi Sote Tuna Maadui

Shemot / Kutoka 21:1-24:18 Yermyahu/Yeremia 34:8-22;33:25-26 Mattityahu/Mathayo 5:38-42 Shemot {23:20}”Tazama,namtuma malaika mbele yako,kukulinda wewe njiani,na kukuleta hadi mahali ambapo nimekuandalia.{23:21} Msikize sana huyo,na uitii sauti yake.Usimuudhi,kwa kuwa hata samehe kutotii kwako,kwa kuwa Jina langu li ndani yake.{23:22} Lakini kama utaitii sauti yake na kuyafanya yote ninenayo,basi,nitakuwa adui wa maadui wako,na mtesi wa watesi wako.{23:23} Kwa [...]

Posted in 5773, Kiswahili, Mishpatim, Mishpatim-ks, Sefer Shemot (Exodus), Torah PortionComments (0)

Hakuna aliye kamili

Hakuna aliye kamili

Shemot / Kutaka 17:1-20:23 Yeshayahu/Isaya 6:1-7:6;9:5-6 Mattityahu/Matayo 5:17-32 Ivrim/WaEbrania 12:18-24 Shemot {18:5} Yitro,baba mkwe wa Moshe,alikuja akiwa na wana wa Moshe pamoja na mke wa Moshe,bintiye Yitro hadi kule nyikani ambako Moshe alikuwa amekita hema,katika Mlima wa Mungu.{18:6} Akamwambia Moshe,mimi mkweo Yitro,nimekujia wewe na mkeo pamoja na wanawe wawili. Sote tunajua kuwa Moshe na mkewe [...]

Posted in 5773, Kiswahili, Sefer Shemot (Exodus), Torah Portion, Yitro, Yitro-ksComments (0)

Kukuepusha  Na  Janga Kubwa

Kukuepusha Na Janga Kubwa

Shemot / Kutoka 13:17-17:16 Shoftim/Waamuzi-4:4-5:31 Kukuepusha Na Janga Kubwa Shemot{13:17} Ikawa Farao alipowaachilia watu waende,ya kwamba HaShem hakuwaelekeza kwenye njia iliyopitia katika ardhi walimoishi Wafilisti,ingawaje njia hiyo ndiyo iliyokuwa fupi;kwa kuwa Mungu alisema,”Watu wasije wakabadili nia yao punde waonapo vita,na kurudi Mitzrayim(Misri).”{13:18} Basi Mungu aliwapitishia watu njia ya mzunguko ya nyikani ipitiayo bahari ya shamu. [...]

Posted in 5773, Beshalach-ks, Kiswahili, Sefer Shemot (Exodus), Torah PortionComments (0)

Vijisababu-Tunahofu kukataliwa

Vijisababu-Tunahofu kukataliwa

Shemot / Kutoka 6:2-9:35 Yechezkel / Ezekiel 28:25-29:21 Ma’asei Hashlichim / Matendo ya Mitume 7:35-38 Shemot {6:12} Moshe akazungumza mbele za HaShem na kusema,”Tazama bnei Yisrael,wana wa Yisrael,hawakunisikiza mimi.Itawezekanaje Farao anisikize wa midomo isiyofanyiwa B’rit Milah ( isiyotahiriwa)?”{6:13} HaShem akanena na Moshe na Aharon na kuwapa agizo kwa bnei Yisrael na Farao mfalme wa Mitzrayim [...]

Posted in 5773, Kiswahili, Sefer Shemot (Exodus), Torah Portion, Va'eira, Vaeira-ksComments (0)

Kuomba Kuhusu Ahadi Za Mungu Ukizielekeza Kwake

Kuomba Kuhusu Ahadi Za Mungu Ukizielekeza Kwake

Bereshit / Mwanzo 32:4-36:43 Ovadyah / Obadia 1:1-21 Mattityahu / Mathayo 26:36-46 Bereshit {32:11}Tafadhali niokoe kutoka mkono wa kaka yangu,kutoka mkono wa Esav(Esau):kwa kuwa ninamwogopa,ili asije akanivamia,em(mama) pamoja na watoto. {32:12}Ulisema,”Hakika nitakutenda mema,na kufanya uzao wako kama mchanga wa bahari kwa wingi,ambao hauwezi kuhesabika.” Baada ya kuisoma parasha ya juma hili,niligundua kuwa HaShem anatuonyesha njia [...]

Posted in 5773, Kiswahili, Sefer Bereshit (Genesis), Torah Portion, Vayishlach, Vayishlach-ksComments (0)

HaShem anajua unapodanganya!

HaShem anajua unapodanganya!

Bereshit / Mwanzo 47:28-50:26 Melachim Aleph / 1 Wafalme 2:1-12 Mattityahu / Matthayo 27:57-61 Bereshit {18: 13} HaShem akamwambia Avraham,”Kwa nini Sarah amecheka,akisema,’Nitampakata mtoto kweli katika uzee wangu?” {18:14} Je,kuna lililo gumu la kumshinda HaShem? Katika muda uliokusudiwa nitarudi kwako,wakati kama huu mwakani,naye Sarah atapata motto”. {18:15} Ndipo Sarah alipokana nakusema”Sikucheka,” Naye akamwambia,hapana,umecheka” Kwa nini [...]

Posted in 5773, Kiswahili, Sefer Bereshit (Genesis), Torah Portion, Vayeira, Vayeira-afComments (0)

Kila Mtu Anafanya Kama Apendavyo Mwenyewe

Kila Mtu Anafanya Kama Apendavyo Mwenyewe

Bereshit / Mwanzo 1:1-6:8 Yeshayahu / Isaya 42:5-43:10 Yochanan / Yohana 1:1-14 Bereshit{6:9} Hii ni historia ya vizazi vya Noach.Noach alikuwa tzaddik(mtu mwenye haki),asiyekuwa na lawama miongoni mwa watu wa nyakati zake.Noach alitembea na MUNGU. Kutokana na kusoma sehemu hii ya Maandiko,ni rahisi watu kuwa na taaswira isiyostahili kuhusu Noach.Hata hivyo,Noach alikuwa mtu wa kawaida [...]

Posted in 5773, Kiswahili, Noach, noach-ks, Sefer Bereshit (Genesis), Torah PortionComments (0)

Baada ya kifo-watakatifu

Baada ya kifo-watakatifu

Vayikra / Walawi 16:1-20-27 Amos/Amosi 9:7-15 Korintim Alef/1 Wakontho 6:9-20 Mattityahu/Mathayo 5:43-48 Vayikra{16:3} Kutokea hapo Aharon atakuja na kuingia Kadosh Kedoshim (Patakatifu Pa Patakatifu) pamoja na fahali kama sadaka ya dhambi na ndume wa kondoo kama (olah) sadaka ya kuteketeza.{16:4} Atavaa koti kadosh (takatifu) ya kitani naye atakuwa na vazi la kitani la ndani juu [...]

Posted in 5772, Acharei-ks, Kedoshim-ks, Kiswahili, Sefer Vayikra (Leviticus), Torah PortionComments (0)

Parashat Beha'alotcha
Torah Portion: Numbers 8:1-12:16


  1. Bamidbar 8:1-14 (Sunday)
  2. Bamidbar 8:15-26 (Monday)
  3. Bamidbar 9:1-14 (Tuesday)
  4. Bamidbar 9:15-10:10 (Wednesday)
  5. Bamidbar 10:11-34 (Thursday)
  6. Bamidbar 10:35-11:29 (Friday)
  7. Bamidbar 11:30-12:16 (Saturday)

Haftarah / Prophets

  • Zechariah 2:14 - 4:7 (Saturday)

Besorah / Good News

  • 1 Corinthians 10:6-13 (Saturday)
Radio Mashiach
Sifrei Chaim - Messianic Jewish Judaica
Tzedakah
Find out on Facebook

Important Links

Special links

  • Offering New Alternatives to Homosexuality
Contact us

A Torah centred Messianic Jewish יהודים משיחים kehila, Toronto, Ontario, Canada - An ever changing Messianic Jewish website till King Mashiach Yeshua comes back!!!
אנחנו רוצים משיח עכשיו / Мы хотим Машиаха сейчас / We Want Mashiach Now / Queremos al Mashiaj ya - יחי אדוננו מורנו ורבינו מלך המשיח לעולם ועד