Tag Archive | "kwanza"

Je,unapitia Hali ya kukosa Usingizi Wakati Wa Usiku?

Je,unapitia Hali ya kukosa Usingizi Wakati Wa Usiku?

Vayikra / Walawi 25:1-27:34 Yirmeyahu / Jeremia 16:19-17:14 Mattityahu / Mathayo 22:1-14 Vayikra{26:3} Kama mtaenenda katika Maagizo Yangu,na kuzitunza Mitzvoth (Amri) Zangu,na kuzifanya;{26:4} ndipo nitakapo wapa mvua katika muda wake,nayo arthi itazaa kwa wingi,nayo miti ya kondeni itazaa matunda yake.{26:5}mlicho vuna kitakaa mpaka wakati wa mavuno mapya,nayo mavuno mapya yatakaa mpaka wakati wa kupanda mbegu;nanyi [...]

Posted in 5773, Bechukotai, Bechukotai-ks, Behar, Behar-ks, Kiswahili, Sefer Vayikra (Leviticus), Torah PortionComments (0)

Vijisababu-Tunahofu kukataliwa

Vijisababu-Tunahofu kukataliwa

Shemot / Kutoka 6:2-9:35 Yechezkel / Ezekiel 28:25-29:21 Ma’asei Hashlichim / Matendo ya Mitume 7:35-38 Shemot {6:12} Moshe akazungumza mbele za HaShem na kusema,”Tazama bnei Yisrael,wana wa Yisrael,hawakunisikiza mimi.Itawezekanaje Farao anisikize wa midomo isiyofanyiwa B’rit Milah ( isiyotahiriwa)?”{6:13} HaShem akanena na Moshe na Aharon na kuwapa agizo kwa bnei Yisrael na Farao mfalme wa Mitzrayim [...]

Posted in 5773, Kiswahili, Sefer Shemot (Exodus), Torah Portion, Va'eira, Vaeira-ksComments (0)

Baada ya kifo-watakatifu

Baada ya kifo-watakatifu

Vayikra / Walawi 16:1-20-27 Amos/Amosi 9:7-15 Korintim Alef/1 Wakontho 6:9-20 Mattityahu/Mathayo 5:43-48 Vayikra{16:3} Kutokea hapo Aharon atakuja na kuingia Kadosh Kedoshim (Patakatifu Pa Patakatifu) pamoja na fahali kama sadaka ya dhambi na ndume wa kondoo kama (olah) sadaka ya kuteketeza.{16:4} Atavaa koti kadosh (takatifu) ya kitani naye atakuwa na vazi la kitani la ndani juu [...]

Posted in 5772, Acharei-ks, Kedoshim-ks, Kiswahili, Sefer Vayikra (Leviticus), Torah PortionComments (0)

Mchanganyiko Wa Watu Wengine

Mchanganyiko Wa Watu Wengine

Shemot/Kutoka 33:12-34:26 BaMidbar /Hesabu 28:19-25 Yechezkiel/Ezekieli 37:1-14 Korintim Alef/Wakorintho Wa Kwanza 5:6-8 Shemot{12:37} Bnei Yisrael(Wana wa Yisrael) walisafiri kutokea Ramses mpaka Sukot,kama watu mia sita elfu,walio kwenda kwa miguu watu wanaume,mbali na watoto.{12:38}Mchanganyiko wa watu wengine ulikwea pamoja nao,pamoja na kondoo,mbuzi,na ng’ombe wengi.{12:39} Walioka unchametz(mkate usio tiwa chachu) mkate wa unga waliotoka nao Mitzrayim(Misri);kwa kuwa [...]

Posted in 5772, Jewish Holidays and Festivals, Kiswahili, pesach-ks, Torah PortionComments (0)

Kufumwa na samawati,zambarau na nyekundu

Kufumwa na samawati,zambarau na nyekundu

Vayikra / Walawi 1:1-5:26 Yeshayahu / Isaya 43:21- 44:23 Ivrim / Ebrania 10:1-18 Kama uonavyo tuna parashot mbili za Torah juma hili.Niliyatafuta mambo yaliyohusiana na kuunganisha parashot hizi mbili pamoja.Nachukua nafasi hii kumshukuru Rabbi Yonatan cahn ambaye kupitia mafundisho yake nimefanya tahariri hii. (Kutoka parashah Vayakhel) Shemot{36:35} Akafanya pazia la samawati,zambarau nyekundu,na kitani safi iliyounganishwa:pamoja [...]

Posted in 5772, Kiswahili, Sefer Vayikra (Leviticus), Torah Portion, Vayikra, Vayikra-ksComments (0)

Hali mbili za kiroho-Wema na Ubaya

Hali mbili za kiroho-Wema na Ubaya

Bereshit / Mwanzo 25:19-28:9 Malachi 1:1-2:7 Romim/Warumi 9:1-13 Bereshit {25:21} Yitzchak(Isaka) akamsihi HaShem kwa ajili ya mkewe,kwa kuwa alikuwa tasa.HaShem akasikia kilio cha Yitzchak kwa ajili ya mkewe Rivkah(Rabeka),naye akatunga mamba.{25:22} Watoto wakashindana tumboni mwake.Akasema,”Ya nini kuishi kama mambo ni haya?”Akamtaka HaShem kumjuza kuhusu mambo yale.{25:23} HaShem akamwambia,”Mataifa mawili yamo ndani ya tumbo lako,watu hawa [...]

Posted in 5772, Kiswahili, Sefer Bereshit (Genesis), Toledot, Toledot-ks, Torah PortionComments (0)

Mawasiliano na mkeo

Mawasiliano na mkeo

Bereshit / Mwanzo 47:28-50:26 Melachim Aleph / 1 Wafalme 2:1-12 Mattityahu / Matthayo 27:57-61 Bereshit{18:3} akasema,”Bwana wangu,kama nimepata kibali machoni pako,tafadhali usimuache mtumishi wako.{18:4} Hebu maji kidogo yaletwe,muoshwe miguu yenu,mweze kupumzika chini ya mti.{18:5} Nitawaandalia mkate kidogo ili mburudishe mioyo yenu.Baada ya hapo mtaendelea na safari yenu,kwa kuwa umemjilia mtumishi wako.” ”Wakasema,Vyema,fanya kama ulivyosema.”{18:6} Avraham [...]

Posted in 5772, Kiswahili, Sefer Bereshit (Genesis), Torah Portion, Vayeira-ksComments (0)

Apendwaye Na Achukiwaye Katika Jamii Ya Kisasa

Apendwaye Na Achukiwaye Katika Jamii Ya Kisasa

Devarim / Kumbukumbu 21:10-25:19 Yeshayahu / Isaya 54:1-10 Korintim Alef / 1Wakorintho 5:1-5 Devarim {21:15} Kama ish (mwanamume) akiwa na wake wawili, mmoja ampendaye na mwingine amchukiaye, na wote wamemzalia watoto; na kama mvulana wa kwanza ni wa yule achukiwaye; {21:16} basi itakuwa katika siku ya wale wana kurithi baba yao alivyo navyo, mume yule [...]

Posted in 5771, Ki-Teitzei-ks, Sefer Devarim (Deuteronomy), Torah PortionComments (0)

Je,Waweza  Kutosheleza Tamaa Yako?

Je,Waweza Kutosheleza Tamaa Yako?

BaMidbar / Hesabu 13:1-15:41 Yehoshua / Yoshua 2:1-24 Ivrim / WaEbrania 3:7:4-11 Bamidbar {13:17} Moshe akawapeleka ili waipeleleze nchi ya Kanaani, akawaambia, Pandeni sasa katika Negev mkapande milimani, {13:18} mkaitazame nchi ni ya namna gani na watu wanaokaa ndani yake, kwamba ni hodari au dhaifu, kwamba ni wachache au wengi; {13:19} na nchi wanayoikaa kwamba [...]

Posted in 5771, Kiswahili, Sefer Bamidbar (Numbers), Shlach-ks, Torah PortionComments (0)

Jambo La Hadhi, Jambo La Kufuhahia, Na Jambo La Baraka

Jambo La Hadhi, Jambo La Kufuhahia, Na Jambo La Baraka

Bamidbar/Hesabu 4:21-7:89 Shoftim/Waamuzi 13:2-25 Ma’asei Talmidim/Matendo Ya Mitume 21:17-26 Bamidbar{7:11} Kisha HaShem akanena na Moshe na kumwambia,Watasongeza matoleo yao,kila mkuu kwa siku yake,kwa ajili ya kuiweka wakfu madhabahu.{7:12} Basi aliyetoa matoleo yake siku ya kwanza ni Nachshon(Nahashoni) mwana wa Amminadav,wa kabila la Yehuda;{7:13} na matoleo yake yalikuwa sahani moja ya fedha,uzani wake shekeli mia na [...]

Posted in 5771, Kiswahili, Naso-ks, Sefer Bamidbar (Numbers), Torah PortionComments (0)

Parashat Beha'alotcha
Torah Portion: Numbers 8:1-12:16


  1. Bamidbar 8:1-14 (Sunday)
  2. Bamidbar 8:15-26 (Monday)
  3. Bamidbar 9:1-14 (Tuesday)
  4. Bamidbar 9:15-10:10 (Wednesday)
  5. Bamidbar 10:11-34 (Thursday)
  6. Bamidbar 10:35-11:29 (Friday)
  7. Bamidbar 11:30-12:16 (Saturday)

Haftarah / Prophets

  • Zechariah 2:14 - 4:7 (Saturday)

Besorah / Good News

  • 1 Corinthians 10:6-13 (Saturday)
Radio Mashiach
Sifrei Chaim - Messianic Jewish Judaica
Tzedakah
Find out on Facebook

Important Links

Special links

  • Offering New Alternatives to Homosexuality
Contact us

A Torah centred Messianic Jewish יהודים משיחים kehila, Toronto, Ontario, Canada - An ever changing Messianic Jewish website till King Mashiach Yeshua comes back!!!
אנחנו רוצים משיח עכשיו / Мы хотим Машиаха сейчас / We Want Mashiach Now / Queremos al Mashiaj ya - יחי אדוננו מורנו ורבינו מלך המשיח לעולם ועד