Tag Archive | "mzima"

Hali mbili za kiroho-Wema na Ubaya

Hali mbili za kiroho-Wema na Ubaya

Bereshit / Mwanzo 25:19-28:9 Malachi 1:1-2:7 Romim/Warumi 9:1-13 Bereshit {25:21} Yitzchak(Isaka) akamsihi HaShem kwa ajili ya mkewe,kwa kuwa alikuwa tasa.HaShem akasikia kilio cha Yitzchak kwa ajili ya mkewe Rivkah(Rabeka),naye akatunga mamba.{25:22} Watoto wakashindana tumboni mwake.Akasema,”Ya nini kuishi kama mambo ni haya?”Akamtaka HaShem kumjuza kuhusu mambo yale.{25:23} HaShem akamwambia,”Mataifa mawili yamo ndani ya tumbo lako,watu hawa [...]

Posted in 5772, Kiswahili, Sefer Bereshit (Genesis), Toledot, Toledot-ks, Torah PortionComments (0)

Siku ya Sabato, Mwaka wa Sabato, Jubilei

Siku ya Sabato, Mwaka wa Sabato, Jubilei

Vayikra / Walawi 25:1-26:2 Yirmeyahu / Yeremiah 32:6-37 Uri / Luka 4:16-21 Korintim Bet / II Wakorintho 6:14-18 Waaminio Biblia mara zote wametia maanani umuhimu wa namba saba kama inavyotumika katika Maandiko. Hakika namba saba ina umuhimu sana, hasa kwa sababu ni namba ya M-NGU, namba ya ukamilifu, namba ya kumalizia, namba ya kupumzika. Hivi [...]

Posted in 5765, Behar-ks, Kiswahili, Sefer Vayikra (Leviticus), Torah PortionComments (0)

Kati Ya Mateka

Kati Ya Mateka

Devarim / Kumbukumbu La Torati 21:10-25:19 Yeshayahu / Isaya 54:1-10 Korintim Alefu / 1 Wakorintho 5:1-5 Devarim {21:10} Mkienda vitani kupigana na adui zenu naye HaShem Mungu wenu akawatia adui mikononi mwenu, nanyi mkachukua mateka, {21:11} kama ukiona miongoni mwa mateka mwanamke mzuri wa sura nawe wavutwa naye, waweza kumwoa akawa mke wako; {21:12} Mlete [...]

Posted in 5769, Ki-Teitzei-ks, Kiswahili, Sefer Devarim (Deuteronomy), Torah PortionComments (0)

Uwe mtakatifu kama nilivyo mtakatifu

Uwe mtakatifu kama nilivyo mtakatifu

Vayikra / Walawi 12:1-15:33 Yesha’yahu / Isaya 66:1-24 Melachim Bet / 2 Wafalme 4:42-5:19, 7:3-20 Mattityahu / Mathayo. 8:1-4, 23:16-24:2, 30-31 Mishkan (Hema la Kukutania) na baadaye Bet HaMikdash (Hekalu) zilikuwa ni moyo wa maisha ya bnei Yisrael (wana wa Israeli). Ziliainisha wao ni nani kwa M-ngu wamuabudio, na kwa jinsi walivyomuabudu Yeye. Ilikuwa ni [...]

Posted in 5766, Kiswahili, Metzora-ks, Sefer Vayikra (Leviticus), Tazria-ks, Torah PortionComments (0)

Sehemu Bora Ni Ya M-ngu

Sehemu Bora Ni Ya M-ngu

Vayikra / Walawi 1:1-5:26 Yeshayahu / Isaya 43:21-44:23 Ivrim / Waibrania 10:1-18 Vayikra{3:3} Matamtolea korbani (kusogelea karibu / dhabihu) za Shalom (Amani) kama dhabihu za kuteketezwa kwa HaShem; na mafuta yote yanayofunika ndani na mafuta yote yaliyopo sehemu za ndani, {3:4} na figo mbili, na mafuta yaliyo juu yake, yaliyopo sehemu za kiunoni, na yanayofunika [...]

Posted in 5767, Kiswahili, Sefer Vayikra (Leviticus), Torah Portion, Vayikra-ksComments (0)

Parashat Balak / פרשת בלק
Torah Portion: Numbers 19:1-22:1


  1. Bamidbar 22:2-12 (Sunday)
  2. Bamidbar 22:13-20 (Monday)
  3. Bamidbar 22:21-38 (Tuesday)
  4. Bamidbar 22:39-23:12 (Wednesday)
  5. Bamidbar 23:13-26 (Thursday)
  6. Bamidbar 23:27-24:13 (Friday)
  7. Bamidbar 24:14-25:9 (Saturday)

Haftarah / Prophets

  • Micah 5:6 - 6:8 (Saturday)

Besorah / Good News

  • 1 Corinthians 1:20-31 (Saturday)
Radio Mashiach
Sifrei Chaim - Messianic Jewish Judaica
Tzedakah
Find out on Facebook

Important Links

Special links

  • Offering New Alternatives to Homosexuality
Contact us

A Torah centred Messianic Jewish יהודים משיחים kehila, Toronto, Ontario, Canada - An ever changing Messianic Jewish website till King Mashiach Yeshua comes back!!!
אנחנו רוצים משיח עכשיו / Мы хотим Машиаха сейчас / We Want Mashiach Now / Queremos al Mashiaj ya - יחי אדוננו מורנו ורבינו מלך המשיח לעולם ועד