Tag Archive | "pamoja"

Kuendeleza chuki

Kuendeleza chuki

Bamidbar / Hesabu 1:1-4:20 Hoshea/Hosea 2:1-22 Korintim Alef/1Wakorintho 12:12-20 Bamidbar{3:25}Jukumu la wana wa Gerishoni katika Ohel Moed (Hema ya Kukutania)ni hema yenyewe,paa zake,na pazia ya mlango wake,{3:26}na pazia za nyuani mwake pamoja na pazia ya mlango wa nyua,ambayo imo kati ya hema na mizbeach(madhabahu ya sadaka za kuteketeza) kuizunguka,na kamba zake kwa ajili ya huduma [...]

Posted in 5773, Bamidbar, Bamidbar-ks, Kiswahili, Sefer Bamidbar (Numbers), Torah PortionComments (0)

Mbingu Duniani

Mbingu Duniani

Shemot / Kutoka 25:1-27:19 Yeshayahu / Isaya 66;1-24 Mattityahu / Mathayo 5:33-37 Ivrim / WaEbrania 9:1-10 Shemot {25:1} HaShem akazungumza na Moshe na kumwambia,{25:2}”Zungumza na bnei Yisrael(wana wa Yisrael),ya kwamba wanitolee korban(sadaka).Kwake Yule aliye tayari moyoni mwake kufanya hivyo kwa hiari mtanichukulia Korbani yangu.{25:3} Na hii ndio korban mtakayo nitwalia kutoka kwao:zahabu,fedha,shaba,{25:4}samawi,zambarau,nyekundu,kitani safi,manyoya ya mbuzi,{25:5} [...]

Posted in 5773, Kiswahili, Sefer Shemot (Exodus), Teruma, Terumah-ks, Torah PortionComments (0)

Hakuna aliye kamili

Hakuna aliye kamili

Shemot / Kutaka 17:1-20:23 Yeshayahu/Isaya 6:1-7:6;9:5-6 Mattityahu/Matayo 5:17-32 Ivrim/WaEbrania 12:18-24 Shemot {18:5} Yitro,baba mkwe wa Moshe,alikuja akiwa na wana wa Moshe pamoja na mke wa Moshe,bintiye Yitro hadi kule nyikani ambako Moshe alikuwa amekita hema,katika Mlima wa Mungu.{18:6} Akamwambia Moshe,mimi mkweo Yitro,nimekujia wewe na mkeo pamoja na wanawe wawili. Sote tunajua kuwa Moshe na mkewe [...]

Posted in 5773, Kiswahili, Sefer Shemot (Exodus), Torah Portion, Yitro, Yitro-ksComments (0)

Vijisababu-Tunahofu kukataliwa

Vijisababu-Tunahofu kukataliwa

Shemot / Kutoka 6:2-9:35 Yechezkel / Ezekiel 28:25-29:21 Ma’asei Hashlichim / Matendo ya Mitume 7:35-38 Shemot {6:12} Moshe akazungumza mbele za HaShem na kusema,”Tazama bnei Yisrael,wana wa Yisrael,hawakunisikiza mimi.Itawezekanaje Farao anisikize wa midomo isiyofanyiwa B’rit Milah ( isiyotahiriwa)?”{6:13} HaShem akanena na Moshe na Aharon na kuwapa agizo kwa bnei Yisrael na Farao mfalme wa Mitzrayim [...]

Posted in 5773, Kiswahili, Sefer Shemot (Exodus), Torah Portion, Va'eira, Vaeira-ksComments (0)

Shemini -Ya Name

Shemini -Ya Name

Vayikrah / Walawi 9:1-11:47 Yechezkiel / Ezekiel 36:16-38 Ma’asei Talmidim / Matendo Ya Mitume 10:9-22,34-35 Vayikra{9:23} Moshe na Aharon wakaenda kwenye Ohel Moed(Hema ya Kukutania) na kutoka nje na kisha wakawabariki watu:na Shechinah (Uwepo Wa Bwana Wa Kuonekana) ikawatokea watu wote.{9:24} Moto ukatoka mbele ya HaShem,na kuiteketeza olah(sadaka ya kuchomwa) katika mizbeach (madhabahu) pamoja na [...]

Posted in 5772, Kiswahili, Sefer Vayikra (Leviticus), Shemini-ks, Torah PortionComments (0)

Mchanganyiko Wa Watu Wengine

Mchanganyiko Wa Watu Wengine

Shemot/Kutoka 33:12-34:26 BaMidbar /Hesabu 28:19-25 Yechezkiel/Ezekieli 37:1-14 Korintim Alef/Wakorintho Wa Kwanza 5:6-8 Shemot{12:37} Bnei Yisrael(Wana wa Yisrael) walisafiri kutokea Ramses mpaka Sukot,kama watu mia sita elfu,walio kwenda kwa miguu watu wanaume,mbali na watoto.{12:38}Mchanganyiko wa watu wengine ulikwea pamoja nao,pamoja na kondoo,mbuzi,na ng’ombe wengi.{12:39} Walioka unchametz(mkate usio tiwa chachu) mkate wa unga waliotoka nao Mitzrayim(Misri);kwa kuwa [...]

Posted in 5772, Jewish Holidays and Festivals, Kiswahili, pesach-ks, Torah PortionComments (0)

Kutuvika Na Haki Yake

Kutuvika Na Haki Yake

Vayikra / Walawi 6:1-8:36 Malachi / Malaki 3:4-24 Wayahudi Wamasihi / Waebrania 8:1-6 Vayikra{8:1}HaShem akanena na Moshe nakusema,{8:2}Mchukue aharon na wanawe pamoja naye,na mavazi,na mafuta ya kuweka wakfu,na fahali wa sadaka ya dhambi,na kondoo wawili,na kapu la matzah(mkate usio tiwa chachu);{8:3},na ukusanye kehilah(kusanyiko yote katika lango la Ohel Moed(hema ya kukutania).{18:4}Moshe akafanya kama HaShem alivyomwamuru;na [...]

Posted in 5772, Kiswahili, Sefer Vayikra (Leviticus), Torah Portion, Tzav, Tzav-ksComments (0)

Torah Sio Kitabu Cha Matendo Ya Sheria

Torah Sio Kitabu Cha Matendo Ya Sheria

Shemot / Kutoka 18:1-20:23 Yeshayahu / Isaya 6:1-6;9:5-6 Mattityahu / Mathayo 5:17-32 Ivrim / WaEbrania 12:18-24 Shemot{20:24} Utatengeneza mizbeach (madhabahu ya kutolea sadaka ya kuteketeza) ya udongo kwa ajili Yangu,na mtakorban (toa) juu yake sadaka ya kuteketeza ya shalom (amani),ya kondoo wenu na mafahali wenu.Mahali popote ambapo nitaweka Jina langu,nitakuja na kuwabariki.{20:25} Kama mtanifanyia madhabahu [...]

Posted in 5772, Kiswahili, Sefer Shemot (Exodus), Torah Portion, Yitro, Yitro-ksComments (0)

Die Bybel is nie ‘n werk georiënteerde boek

Die Bybel is nie ‘n werk georiënteerde boek

Shemot (kutoka) 18:1-20:23 Yeshayahu/Isaya 6:1-6;9:5-6 Mattityahu/Mathayo 5:17-32 Ivrim/WaEbrania 12:18-24 Shemot{20:24} Utatengeneza mizbeach (madhabahu ya kutolea sadaka ya kuteketeza) ya udongo kwa ajili Yangu,na mtakorban (toa) juu yake sadaka ya kuteketeza ya shalom (amani),ya kondoo wenu na mafahali wenu.Mahali popote ambapo nitaweka Jina langu,nitakuja na kuwabariki.{20:25} Kama mtanifanyia madhabahu ya mawe,basi,hamtanitengenezea kwa mawe yaliyochongwa,kwa kuwa mkiinua [...]

Posted in 5772, Kiswahili, Sefer Shemot (Exodus), Torah Portion, Yitro, Yitro-ksComments (0)

Kuyajumuisha mapenzi yetu na Yake

Kuyajumuisha mapenzi yetu na Yake

Shemot / Kutoka 13:17-17:1 Shoftim / Waamuzi 4:4-5:31 Yochanan / Yohana 6:22-40 Shemot {17:8} Ndipo Amaleki walipo kuja na kupigana na Yisrael huko Refidimu.{17:9} Moshe(Musa) akamwambia Yehoshua(Yoshua),”Chagua watu kwa ajili yetu wakaoenda vitani kutupigania dhidi ya Amaleki.Kesho nitasimama juu yam lima,nikiwa na fimbo ya Mungu mkononi mwangu.{17:10} Basi Yehoshua akafanya kama Moshe alivyomwagiza,na akapigana na [...]

Posted in 5772, Beshalach-ks, Kiswahili, Sefer Shemot (Exodus), Torah PortionComments (0)

Parashat Balak / פרשת בלק
Torah Portion: Numbers 19:1-22:1


  1. Bamidbar 22:2-12 (Sunday)
  2. Bamidbar 22:13-20 (Monday)
  3. Bamidbar 22:21-38 (Tuesday)
  4. Bamidbar 22:39-23:12 (Wednesday)
  5. Bamidbar 23:13-26 (Thursday)
  6. Bamidbar 23:27-24:13 (Friday)
  7. Bamidbar 24:14-25:9 (Saturday)

Haftarah / Prophets

  • Micah 5:6 - 6:8 (Saturday)

Besorah / Good News

  • 1 Corinthians 1:20-31 (Saturday)
Radio Mashiach
Sifrei Chaim - Messianic Jewish Judaica
Tzedakah
Find out on Facebook

Important Links

Special links

  • Offering New Alternatives to Homosexuality
Contact us

A Torah centred Messianic Jewish יהודים משיחים kehila, Toronto, Ontario, Canada - An ever changing Messianic Jewish website till King Mashiach Yeshua comes back!!!
אנחנו רוצים משיח עכשיו / Мы хотим Машиаха сейчас / We Want Mashiach Now / Queremos al Mashiaj ya - יחי אדוננו מורנו ורבינו מלך המשיח לעולם ועד