
BaMidbar / Hesabu 16:1-18:32 Sh’muel / 1Samuel 11:14-12:22 Romim / Warumi 13:1-7 Katika Parashah ya juma lililopita tulikuwa na mfano wa jinsi hali au tabia yetu isivyo ya ukamilifu na isiyoweza kuridhika au kuridhishwa-hata tukipewa nini! Tulifunuliwa jambo hili katika hali ya kufichika sana katika ile habari ya wale wapelelezi. Lakini katika Parashah ya juma [...]

Mwanzo 13:17-17:16 Waamuzi 4:4-5:31 Yohana 6:22-40 Shemot {13:17} Wakati Farao alipowaachia Bnei Yisraeli waende zao, M-ngu hakuwaongoza kupitia katika nchi ya Wafilisti, ingawa njia hiyo ilikuwa ni ya karibu; M-ngu alisema “Isije ikawa watu hawa wakabadilisha nia zao na kurudi Mitzrayim (Misri) wakati wakiiona vita; ” {13:18} bali M-ngu aliwapitisha watu katika njia ya muzunguko [...]

Bereshit / Mwanzo 1:1-6:8 Yeshayahu / Isaya 42:5-43:10 Yochanan / Yohana 1:1-5 Bereshit {2:4} Hii ni historia ya vizazi vya mbingu na dunia zilipoumbwa. Siku ile HaShem M-ngu alipoziunda mbingu na dunia, {2:5} Hapakuwa na mimea juu ya nchi wala majani hayakuwa yamechipua kwani HaShem M-ngu hakuwa ameifanya mvua inyeshea nchi. Hapakuwa na ish (mtu) [...]