Tag Archive | "watu"

Viongozi inawapasa kuwa mfano bora

Viongozi inawapasa kuwa mfano bora

BaMidbar/Hesabu 8:1-12:16 Zecharya/Zakaria 2:14-4:7 Korintim Alef/1Wakorintho 10:6-13 Bamidbar{8:9} Utawaleta Leviim(Walawi) mbele ya Ohel Moed(Heme ya kukutania):na utakusanya kehilah (kusanyiko) yote ya bnei Yisrael(wana wa Yisrael):{8:10} nawe utawaonyesha Leviim mbele za HaShem.Bnei Yisrael wataweka mikono yao juu ya Leviim:{8:11} na Aharon atawatoa Leviim kama sadaka mbele za HaShem kama sadaka ya kutikisa kwa niaba ya bnei [...]

Posted in 5773, Beha'alotecha, Behaalotecha-ks, Kiswahili, Sefer Bamidbar (Numbers), Torah PortionComments (0)

Hakuna aliye kamili

Hakuna aliye kamili

Shemot / Kutaka 17:1-20:23 Yeshayahu/Isaya 6:1-7:6;9:5-6 Mattityahu/Matayo 5:17-32 Ivrim/WaEbrania 12:18-24 Shemot {18:5} Yitro,baba mkwe wa Moshe,alikuja akiwa na wana wa Moshe pamoja na mke wa Moshe,bintiye Yitro hadi kule nyikani ambako Moshe alikuwa amekita hema,katika Mlima wa Mungu.{18:6} Akamwambia Moshe,mimi mkweo Yitro,nimekujia wewe na mkeo pamoja na wanawe wawili. Sote tunajua kuwa Moshe na mkewe [...]

Posted in 5773, Kiswahili, Sefer Shemot (Exodus), Torah Portion, Yitro, Yitro-ksComments (0)

Ni Kazi bure Kushindana na Uweza Usiopingika

Ni Kazi bure Kushindana na Uweza Usiopingika

Shemot / Kutoka 10:1-13:16 Yirmeyahu / Yeremia 46:13-28 Romim / Warumi 9:14-24 Shemot {10:7} Watumishi wa Farao wakamwambia,”Mpaka lini ish (mtu)huyu atakuwa mtego kwetu? Acha watu hawa waende wakamtumikie HaShem Mungu wao.Huoni wewe yakuwa Mitzrayim (Misri) imeangamia? {10:8} Moshe na Aharon wakaletwa tena mbele za Farao,na akawaambia,”nendeni mkamtumikie HaShem Mungu wenu;lakini ni nani hao waendao?”{10:9} [...]

Posted in 5773, Bo, Bo-ks, Kiswahili, Sefer Shemot (Exodus), Torah PortionComments (0)

HaShem anajua unapodanganya!

HaShem anajua unapodanganya!

Bereshit / Mwanzo 47:28-50:26 Melachim Aleph / 1 Wafalme 2:1-12 Mattityahu / Matthayo 27:57-61 Bereshit {18: 13} HaShem akamwambia Avraham,”Kwa nini Sarah amecheka,akisema,’Nitampakata mtoto kweli katika uzee wangu?” {18:14} Je,kuna lililo gumu la kumshinda HaShem? Katika muda uliokusudiwa nitarudi kwako,wakati kama huu mwakani,naye Sarah atapata motto”. {18:15} Ndipo Sarah alipokana nakusema”Sikucheka,” Naye akamwambia,hapana,umecheka” Kwa nini [...]

Posted in 5773, Kiswahili, Sefer Bereshit (Genesis), Torah Portion, Vayeira, Vayeira-afComments (0)

Kutembea tembea na watu wabaya kuna haribu Tabia Nzuri

Kutembea tembea na watu wabaya kuna haribu Tabia Nzuri

BaMidbar / Hesabu 16:1-18:32 Sh’muel / 1Samuel 11:14-12:22 Romim / Warumi 13:1-7 Bamidbar {16:24} Ongea na kusanyiko na uliambie,”Ondokeni katika hema ya Korach,Datan,na Aviram.”{16:25} Moshe akasimama na kumwendea Datan na Aviram;na viongozi wa Yisrael wakamfuata.{16:26} Akalizungumzia kusanyiko na kuliambia,”Ondokeni nawaamuru ninyi,kutoka katika mahema ya watu hawa waovu,na msikiguse chochote kilicho chao msije mkaangamia katika uasi(dhambi) [...]

Posted in 5772, Kiswahili, Korach, Korach-ks, Sefer Bamidbar (Numbers), Torah PortionComments (0)

Shemini -Ya Name

Shemini -Ya Name

Vayikrah / Walawi 9:1-11:47 Yechezkiel / Ezekiel 36:16-38 Ma’asei Talmidim / Matendo Ya Mitume 10:9-22,34-35 Vayikra{9:23} Moshe na Aharon wakaenda kwenye Ohel Moed(Hema ya Kukutania) na kutoka nje na kisha wakawabariki watu:na Shechinah (Uwepo Wa Bwana Wa Kuonekana) ikawatokea watu wote.{9:24} Moto ukatoka mbele ya HaShem,na kuiteketeza olah(sadaka ya kuchomwa) katika mizbeach (madhabahu) pamoja na [...]

Posted in 5772, Kiswahili, Sefer Vayikra (Leviticus), Shemini-ks, Torah PortionComments (0)

Kuwaacha Wanao nyuma

Kuwaacha Wanao nyuma

Shemot / Kutoka 10:1-13:16 Yirmeyahu / Yeremia 46:13-28 Romim / Warumi 9:14-24 Shemot{10:7} Watumishi wa Farao wakamwambia “Mpaka lini ish(mtu) huyu atakuwa mtego kwetu? Waachilie watu waende,ili wakamtumikie HaShem,Mungu wao.Hujui wewe yakuwa Mitzrayim yote imeharibiwa?”{10:8} Moshe(Musa) na Aharon wakaletwa tena kwa Farao,na akawaambia “Nendeni mkamtumikie HaShem Mungu wenu;lakini nani hao waendao?”{10:9} Moshe akasema,”Tutakwenda na watoto [...]

Posted in 5772, Bo-ks, Kiswahili, Sefer Shemot (Exodus), Torah PortionComments (0)

Kutiwa nguvu na Kupata hakikisho kutoka kwa HaShem

Kutiwa nguvu na Kupata hakikisho kutoka kwa HaShem

Shemot / Kutoka 1:1-6:1 Yeshayahu / Isaya 27:6-28:13, 29:22-23 Ma’asei Hashlichim / Mitume 7:17-29 Shemot {3:11}Moshe akamwambia HaShem,”Mimi ni nani hata nimwendee Farao,ili niweze kuwatoa bnei Yisrael(wana wa Yisrael) katika nchi ya Mitzrayim(misri)?”{3:12}Aksema,”Hakika niko pamoja nawe.Hii itakuwa ni ishara kwako yakuwa nimekutuma:Utakapo watoa watu katika nchi ya Mitzrayim,mtamuabudu HaShem katika mlima huu.” Nimeona hili likiwa [...]

Posted in 5772, Kiswahili, Sefer Shemot (Exodus), Shemot, Shemot-ks, Torah PortionComments (0)

Hali mbili za kiroho-Wema na Ubaya

Hali mbili za kiroho-Wema na Ubaya

Bereshit / Mwanzo 25:19-28:9 Malachi 1:1-2:7 Romim/Warumi 9:1-13 Bereshit {25:21} Yitzchak(Isaka) akamsihi HaShem kwa ajili ya mkewe,kwa kuwa alikuwa tasa.HaShem akasikia kilio cha Yitzchak kwa ajili ya mkewe Rivkah(Rabeka),naye akatunga mamba.{25:22} Watoto wakashindana tumboni mwake.Akasema,”Ya nini kuishi kama mambo ni haya?”Akamtaka HaShem kumjuza kuhusu mambo yale.{25:23} HaShem akamwambia,”Mataifa mawili yamo ndani ya tumbo lako,watu hawa [...]

Posted in 5772, Kiswahili, Sefer Bereshit (Genesis), Toledot, Toledot-ks, Torah PortionComments (0)

Usalama wetu ni katika HaShem

Usalama wetu ni katika HaShem

Bmidbar / Numbers 29:23-31 Yechezkiel / Ezekiel 38:18-39:16 Kohelet / Ecclesiastes 1-12 Hitgalut / Revelation 21:1-4 Yochanan / John 1:10-14 Tukijua ya kwamba juma hili Shabbat itakuwa katika siku za katikati ya sikukuu hii ya Sukkot(vibanda),kuna sehemu ya Torah maalum kwa ajili ya wakati huu kama ionekanavyo hapo juu. Fungu pekee ambalo linataja kuhusu Sukkot [...]

Posted in 5772, Jewish Holidays and Festivals, Kiswahili, sukot-ks, Torah PortionComments (0)

Parashat Beha'alotcha
Torah Portion: Numbers 8:1-12:16


  1. Bamidbar 8:1-14 (Sunday)
  2. Bamidbar 8:15-26 (Monday)
  3. Bamidbar 9:1-14 (Tuesday)
  4. Bamidbar 9:15-10:10 (Wednesday)
  5. Bamidbar 10:11-34 (Thursday)
  6. Bamidbar 10:35-11:29 (Friday)
  7. Bamidbar 11:30-12:16 (Saturday)

Haftarah / Prophets

  • Zechariah 2:14 - 4:7 (Saturday)

Besorah / Good News

  • 1 Corinthians 10:6-13 (Saturday)
Radio Mashiach
Sifrei Chaim - Messianic Jewish Judaica
Tzedakah
Find out on Facebook

Important Links

Special links

  • Offering New Alternatives to Homosexuality
Contact us

A Torah centred Messianic Jewish יהודים משיחים kehila, Toronto, Ontario, Canada - An ever changing Messianic Jewish website till King Mashiach Yeshua comes back!!!
אנחנו רוצים משיח עכשיו / Мы хотим Машиаха сейчас / We Want Mashiach Now / Queremos al Mashiaj ya - יחי אדוננו מורנו ורבינו מלך המשיח לעולם ועד