Shemot / Kutoka 21:1-24:18 Yermyahu/Yeremia 34:8-22;33:25-26 Mattityahu/Mathayo 5:38-42 Shemot {23:20}”Tazama,namtuma malaika mbele yako,kukulinda wewe njiani,na kukuleta hadi mahali ambapo nimekuandalia.{23:21} Msikize sana huyo,na uitii sauti yake.Usimuudhi,kwa kuwa hata samehe kutotii kwako,kwa kuwa Jina langu li ndani yake.{23:22} Lakini kama utaitii sauti yake na kuyafanya yote ninenayo,basi,nitakuwa adui wa maadui wako,na mtesi wa watesi wako.{23:23} Kwa [...]









