Tag Archive | "yote"

Ni Kazi bure Kushindana na Uweza Usiopingika

Ni Kazi bure Kushindana na Uweza Usiopingika

Shemot / Kutoka 10:1-13:16 Yirmeyahu / Yeremia 46:13-28 Romim / Warumi 9:14-24 Shemot {10:7} Watumishi wa Farao wakamwambia,”Mpaka lini ish (mtu)huyu atakuwa mtego kwetu? Acha watu hawa waende wakamtumikie HaShem Mungu wao.Huoni wewe yakuwa Mitzrayim (Misri) imeangamia? {10:8} Moshe na Aharon wakaletwa tena mbele za Farao,na akawaambia,”nendeni mkamtumikie HaShem Mungu wenu;lakini ni nani hao waendao?”{10:9} [...]

Posted in 5773, Bo, Bo-ks, Kiswahili, Sefer Shemot (Exodus), Torah PortionComments (0)

HaShem Alimfanikisha

HaShem Alimfanikisha

Bereshit / Mwanzo 28:10-32:3 Hoshea / Hosea 12:13-14:10 Yokhanani / Yohana 1:19-51 Bereshit {28:18} Ya’acov akaamka asubuhi na mapema na akalichukua jiwe alilokuwa amelilalia kama mto,akalimwagia mafuta juu yake.{28:19} Akapaita mahali pale Beit-El (Nyumba ya Mungu) lakini jina la mji ule hapo awali ulikuwa ukiitwa Luz.{28:20} Ya’acov akaapa kiapo akisema “Kama HaShem atakuwa pamoja nami [...]

Posted in 5773, Kiswahili, Sefer Bereshit (Genesis), Torah Portion, Vayeitzei, Vayetze-ksComments (0)

Pesach (Passover) na Hekalu Takatifu

Pesach (Passover) na Hekalu Takatifu

Devarim/Kumbukumbu La Torati 14:22-16:17 Bamidbar/Hesabu 28:19-28:35 Yeshayahu/Isaya10:32-12:6 Korintim Alef/1 Wakorintho 5:6-8 Devarim{16:5} Huta korban(toa sadaka)pesach(mwana kondoo wa pasaka) katika malango yako yote,ambayo Bwana HaShem Mungu wako amekupa wewe;{16:6} bali katika sehemu ambayo Bwana HaShem wako amechagua,ili kufanya Jina lake kukaa humo,hapo ndipo mtakapo korban pesach wkati wa jioni,jua linapo kuchwa,wakati ule mlipotoka katika nchi ya [...]

Posted in 5772, Jewish Holidays and Festivals, Kiswahili, pesach-ks, Torah PortionComments (0)

Kuwaacha Wanao nyuma

Kuwaacha Wanao nyuma

Shemot / Kutoka 10:1-13:16 Yirmeyahu / Yeremia 46:13-28 Romim / Warumi 9:14-24 Shemot{10:7} Watumishi wa Farao wakamwambia “Mpaka lini ish(mtu) huyu atakuwa mtego kwetu? Waachilie watu waende,ili wakamtumikie HaShem,Mungu wao.Hujui wewe yakuwa Mitzrayim yote imeharibiwa?”{10:8} Moshe(Musa) na Aharon wakaletwa tena kwa Farao,na akawaambia “Nendeni mkamtumikie HaShem Mungu wenu;lakini nani hao waendao?”{10:9} Moshe akasema,”Tutakwenda na watoto [...]

Posted in 5772, Bo-ks, Kiswahili, Sefer Shemot (Exodus), Torah PortionComments (0)

Utumie Wimbo Huu

Utumie Wimbo Huu

Devarim/Kumbukumbu 32:1-52 Hoshea/Hosea 14:2-10 Yoel/Yoeli 2:11-27 Micha/Mika 7:18-20 Romim/Warumi 10:14-11:12 Devarim{32:1} Tegeni masikio enyi mbingu,nami nitazungumza;Dunia na isikilize maneno ya kinywa change.{32:2} Mafundisho yangu yatashuka kama mvua;maneno yangu yatatonatona kama umande,kama mvua nyepesi juu ya majani mwororo,kama manyunyu juu ya mboga.{32:3} Kwakuwa nitalitangaza jina la HaShem:Mpatieni Bwana Mungu wetu ukuu wake.{32:4} Ni Mwamba,Kazi yake ni [...]

Posted in Haazinu-ks, Kiswahili, Sefer Devarim (Deuteronomy), Torah PortionComments (0)

Jiepushe Na Mafundisho Mapotovu

Jiepushe Na Mafundisho Mapotovu

Devarim / Kumbukumbu 29:9-30:20 Yeshayahu / Isaya 55:6-56:8,61:10-63:9 Romim / Warumi 7:7-12,10:1-13 Devarim{29:16}Mnajua jinsi tulivyoishi katika nchi ya Mitzrayim(Misri),na jinsi tulivyopita kati ya mataifa ambayo tulipita kati yao.{29:17}Na mmeona machukizo yao,na sanamu,miti na mawe,dhahabu na fedha,ambazo zilikuwa kati yao;kusije kukawa kati yenu ish(mtu mume),ama isha(mwanamke),ama nyumba ya fulani,ama kabila fulani,ambalo moyo wake utageuka na kumwacha [...]

Posted in 5771, Kiswahili, Nitzavim-ks, Sefer Devarim (Deuteronomy), Torah Portion, Vayelech-ksComments (0)

Macho Yetu,Masikio Yetu, Na Mioyo Yetu

Macho Yetu,Masikio Yetu, Na Mioyo Yetu

Devarim / Kumbukumbu 26:1-29:8 Yeshayahu / Isaya 60:1-22 Ma’asei Talmidim / Matendo Ya Mitume 7:30-36 Kuna mambo muhimu yakutajwa katika Parashah hii.Baadhi ya mambo hayo nimeshataja katika Parashot zilizo pita.Hata hivyo,naona mambo hayo yana faa kurudiwa japo kwa ufupi,kabla ya kuendelea mbele nay a ambayo HaShem ameyatia moyoni mwangu mmwaka huu. Devarim{26:2} ya kwamba utayachukua [...]

Posted in 5771, Ki-Tavo-ks, Kiswahili, Sefer Devarim (Deuteronomy), Torah PortionComments (0)

Mapenzi Ya HaShem Kupitia Kwako

Mapenzi Ya HaShem Kupitia Kwako

Devarim / Kumbukumbu La Torati 1:1-3:22 Yeshayahu / Isaya 1:1-27 Timoteos Alef / 1Timotheo 3:1-7 Devarim {1:41} Ndipo mkanijibu mkaniambia, Sisi tumefanya dhambi juu ya HaShem, tutakwea kupigana kwa mfano wa yote tuliyoamriwa na HaShem, Mkajifunga kila mtu silaha zake za vita, mkafanya wepesi kukwea mlimani. {1:42} HaShem akaniambia, Uwaambie, Msiende, wala msipigane; kwani mimi [...]

Posted in 5771, Devarim-en, Kiswahili, Sefer Devarim (Deuteronomy), Torah PortionComments (0)

Punda Wanao Zungumza

Punda Wanao Zungumza

BaMidbar/Hesabu 22:2-25:9 Mikhah/Mika 5:6-6:8 Korintim Aleph/1Wakorintho 1:20-31 Bamidbar {22:28} HaShem akakifungua kinywa cha yule punda, naye akamwambia Bilaam (Balaam),” Nimekosa nini hata unipige mara tatu hizi?” {22:29} Bilaam akamjibu punda yule,” Kwa sababu umenikejeli, na kama ningalikuwa na upanga mkononi mwangu, ningalikuua.” {22:30} Punda akamwambia Bilaam,” Je, mimi si punda wako aliyekubeba maisha yako yote [...]

Posted in 5771, Balak-ks, Kiswahili, Sefer Bamidbar (Numbers), Torah PortionComments (0)

Wenda Wazimu Uko Karibu Kuliko Tunavyodhani

Wenda Wazimu Uko Karibu Kuliko Tunavyodhani

Vayikra / Walawi 25:1-26:2 Yirmeyahu / Yeremia 32:6-27 Uri / Luka 4:16-21 Vayikra{25:25}Kwamba nduguyo amekuwa maskini na kuuza sehemu ya milki yake,ndipo jamaa yake aliye karibu naye atakuja,naye ataikomboa ile aliyoiuza nduguye.{25:26}Na kama mtu hana atakayeikomboa,naye mwenyewe amepata mali na kujiona kuwa anayo ya kutosha kuikomboa;{25:27}ndipo na aihesabu hiyo miaka ya kuuzwa kwake,na kilichozidi kumrudishia [...]

Posted in 5771, Behar-ks, Kiswahili, Sefer Vayikra (Leviticus), Torah PortionComments (0)

Parashat Beha'alotcha
Torah Portion: Numbers 8:1-12:16


  1. Bamidbar 8:1-14 (Sunday)
  2. Bamidbar 8:15-26 (Monday)
  3. Bamidbar 9:1-14 (Tuesday)
  4. Bamidbar 9:15-10:10 (Wednesday)
  5. Bamidbar 10:11-34 (Thursday)
  6. Bamidbar 10:35-11:29 (Friday)
  7. Bamidbar 11:30-12:16 (Saturday)

Haftarah / Prophets

  • Zechariah 2:14 - 4:7 (Saturday)

Besorah / Good News

  • 1 Corinthians 10:6-13 (Saturday)
Radio Mashiach
Sifrei Chaim - Messianic Jewish Judaica
Tzedakah
Find out on Facebook

Important Links

Special links

  • Offering New Alternatives to Homosexuality
Contact us

A Torah centred Messianic Jewish יהודים משיחים kehila, Toronto, Ontario, Canada - An ever changing Messianic Jewish website till King Mashiach Yeshua comes back!!!
אנחנו רוצים משיח עכשיו / Мы хотим Машиаха сейчас / We Want Mashiach Now / Queremos al Mashiaj ya - יחי אדוננו מורנו ורבינו מלך המשיח לעולם ועד